MBUNGE WA JIMBO LA SEGEREA AFANYA ZIARA YA KIKAZI JIMBONI KWAKE.
Alhamisi 14 Januari 2021, Mbunge wa jimbo la Segerea *Mh. Bonnah Ladislaus Kamoli (MB)* amefanya ziara ya kikazi katika kata za Kinyerezi, Bonyokwa, Kisukuru na Segerea. Katika ziara hii *Mh. Bonnah* aliongozana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala *Ndugu Jumanne Shauri* pamona na wahandisi wa manispaa ya Ilala ambao ni wakuu wa Idara za TARURA
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed