MBUNGE WA JIMBO LA SEGEREA AFANYA ZIARA YA KIKAZI JIMBONI KWAKE.

Alhamisi 14 Januari 2021, Mbunge wa jimbo la Segerea *Mh. Bonnah Ladislaus Kamoli (MB)* amefanya ziara ya kikazi katika kata za Kinyerezi, Bonyokwa, Kisukuru na Segerea. Katika ziara hii *Mh. Bonnah* aliongozana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala *Ndugu Jumanne Shauri* pamona na wahandisi wa manispaa ya Ilala ambao ni wakuu wa Idara za TARURA